Saturday, February 23, 2013

REMIX YA NATAKA KULEWA

remix ya nataka kulewa ya diamond uuusiniulze division gan, sabab utanizingua, ukpenda ingia net, kama ni zero au four utagundua, mm jana ckuamin, nkajuaga yakuzua, walofel niweng, na zero nyingi roho inaniumaa, (ooh majbu yamenfanya kama mtoto nilie vbaya kusoma cwez kilchobak nahiari nfunge ndoa) Nataka kuoa...mi naataka kuoa .....nataka kuoa .....zkipanda nichakalike...

1 comment: